HABARI

HABARI

HABARI

HABARI

HABARI

HABARI

HABARI

» » Bunge lafuta Mapendekezo ya Tumesheria Sport Club kuingia robo final - SHIMIWI 2023

 








Bunge lafuta Mapendekezo ya Tumesheria Sport Club - SHIMIWI 2023.

 

Timu ya kuvuta kamba ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo imefuta  mapendekezo na matarajio ya timu ya Tumesheria ya kuingia robo fainali Katika mashindano ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) Katika mchezo wa kuvuta kamba Uliofanyika Katika uwanja wa Mkwawa Mjini Iringa.

 

Tume ya Kurekebisha sheria imetolewa na timu ya Bunge kwa ponti mbili 2-0 ambapo ilivutwa  Mara zote mbili hivyo kupoteza nafasi ya kuendelea na michuano hiyo.

Walipokuwa wakihojiwa wachezaji wa  TumeSheria wamesema pamoja na kutumia mbinu mbalimba za mwalimu lakini  walizidiwa nguvu Katika mchezo huo hivyo wakaupoteza na sasa wanajipanga upya kwa ajili ya mashindano hayo kwa mwaka kesho.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Tuandikie Maoni yako