HABARI

HABARI

HABARI

HABARI

HABARI

HABARI

HABARI

» » » SHIRIKA LA "ENABEL" UBELIGIJI LATEMBELEA TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA.

Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania leo imetembelewa na wageni kutoka Shirika la Misaada la Nchini Ubeligiji  ( ENABEL)  kwa lengo kujifunza na  kufahamu  majukumu ya Tume  hiyo na  inavyofanya kazi.

Kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Tume hiyo ambapo kiliongozwa na Katibu Mtendaji Bw. George Mandepo  na kuwashirikisha wakuu wa vitengo vya Utafiti, Mapitio na elimu kwa Umma.








«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Tuandikie Maoni yako